iqna

IQNA

harun khan
TEHRAN (IQNA)_Wakaguzi wa shule nchini Uingereza wametakiwa kuwasaili wasichana Waislamu katika shule za msingi iwapo watapatikana wamevaa mtandio au vazi la Hijabu wakiwa shuleni.
Habari ID: 3471271    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/20